Bondia Amir Khan akiwa chini baada ya kuangushwa na mpinzani wake, Terence Crawford raundi ya kwanza kwenye pambano la uzito wa Welter asubuhi ya leo ukumbi wa Madison Square Garden mjini New York, Marekani. Khan aliinuka na kuendelea na pambano kabla ya kujiuzulu raundi ya sita akidai kupigwa chini ya mkanda, hivyo Crawford kuondoka na taji lake la WBO kwa ushindi wa Technical Knockout (TKO) akiendeleza rekodi ya kutopoteza pambano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mathew Cudjoe wins Scottish Championship with Dundee United to seal Premier
League return
-
Matthew Cudjoe and his Dundee United side have clinched the Scottish
Championship title with one match remaining, thereby securing automatic
promotion to t...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment