Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool dhidi ya FC Porto kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield usiku wa jana. Keita alifunga la kwanza dakika ya tano na Firmino la pili dakika ya 26 na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Do Dragao mjini Porto PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool fans are left baffled by 'silly' talks to sell club legend Andy
Robertson to Tottenham, fearing leadership void as they take aim at squad
planning
-
Arne Slot's side have received an approach from Spurs about getting a deal
done this window, after Thomas Frank lost defender Ben Davies to a broken
ankle ...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment