Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool dhidi ya FC Porto kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield usiku wa jana. Keita alifunga la kwanza dakika ya tano na Firmino la pili dakika ya 26 na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Do Dragao mjini Porto PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC’s Ikeje Asogwa declared winner of Enugu North Senate by-election
-
INEC declares APC candidate Ikeje Asogwa winner of Enugu North Senatorial
by-election with 162,360 votes, defeating PDP’s Nestor Ezeme.
The post APC’s Ik...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment