Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool dhidi ya FC Porto kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield usiku wa jana. Keita alifunga la kwanza dakika ya tano na Firmino la pili dakika ya 26 na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Do Dragao mjini Porto PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Resurgent Chiefs plot Ulster downfall after escaping 'dark place'
-
Ulster-born Exeter Chiefs legend Gareth Steenson runs the rule over
Saturday's European Challenge Cup semi-final between the sides at Affidea
Stadium.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment