Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool dhidi ya FC Porto kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield usiku wa jana. Keita alifunga la kwanza dakika ya tano na Firmino la pili dakika ya 26 na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Do Dragao mjini Porto PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheltenham Festival LIVE: Tips and results from Champions Day as Kopek Des
Bordes, Lossiemouth and The New Lion headline action-packed opening day
-
Follow Daily Mail Sport's live blog of day one at the 2026 Cheltenham
Festival as we bring you the latest tips, racecards and results from one of
the bigge...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment