Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool dhidi ya FC Porto kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield usiku wa jana. Keita alifunga la kwanza dakika ya tano na Firmino la pili dakika ya 26 na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Do Dragao mjini Porto PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tinubu to address world leaders at UN General Assembly on September 23
-
President Bola Tinubu will address world leaders at the 81st session of the
United Nations General Assembly (UNGA 81) in New York on Wednesday,
September...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment