Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool dhidi ya FC Porto kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield usiku wa jana. Keita alifunga la kwanza dakika ya tano na Firmino la pili dakika ya 26 na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Do Dragao mjini Porto PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Trade Rumors: Bucks' Giannis Discussed by Teams with Stockpile of NBA
Draft Picks
-
The Milwaukee Bucks haven't yet been eliminated from the 2024 NBA playoffs,
but the sharks might already be starting to circle. ESPN's Tim MacMahon
reported…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment