Kiungo Aaron Ramsey akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 15 kabla ya mpira uliopigwa na Lucas Torreira kumbabatiza beki Kalidou Koulibaly aliyejifunga dakika ya 25 kuipa timu hiyo bao la pili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Napoli kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London na timu hizo zitarudiana Aprili 18 Uwanja wa San Paolo mjini Napoli PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Under-fire Spurs interim boss Igor Tudor makes honest admission about
Champions League tie against Atletico Madrid amid Premier League survival
battle
-
MATT BARLOW IN MADRID: There's a quirk of cruelty about sending Tottenham
back to the Metropolitano for the first time right now, rekindling glories
of the...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment