Kiungo Aaron Ramsey akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 15 kabla ya mpira uliopigwa na Lucas Torreira kumbabatiza beki Kalidou Koulibaly aliyejifunga dakika ya 25 kuipa timu hiyo bao la pili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Napoli kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London na timu hizo zitarudiana Aprili 18 Uwanja wa San Paolo mjini Napoli PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James Tedesco under fire with footy fans after blatant trip on Melbourne
Storm fullback Ryan Papenhuyzen - as Roosters star is hit with a feather by
NRL judiciary
-
Roosters star James Tedesco has learnt his fate after appearing to trip
Melbourne Storm fullback Ryan Papenhuyzen on Thursday night at Allianz
Stadium - an...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment