Kiungo wa zamani wa Bayern Munich, Sebastian Rode akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Eintracht Frankfurt ikiilaza 2-0 Benfica katika mchezo wa marudiano Robo Fainali Europa League usiku wa jana Uwanja wa PSD Bank Arena mjini Frankfurt am Main na kufanya sare ya jumla ya 4-4 lakini akiiwezesha timu yake kusonga mbele kwa mabao ya ugenini kufuatia kufungwa 4-2 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Super-woke AFL legend Bob Murphy's radio career with the ABC gets off to a
disastrous start
-
Robert 'Bob' Murphy was a revered figure in his footy career with the
Western Bulldogs across 312 games - but he's not feeling the love from
Melburnians an...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment