Kiungo wa zamani wa Bayern Munich, Sebastian Rode akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Eintracht Frankfurt ikiilaza 2-0 Benfica katika mchezo wa marudiano Robo Fainali Europa League usiku wa jana Uwanja wa PSD Bank Arena mjini Frankfurt am Main na kufanya sare ya jumla ya 4-4 lakini akiiwezesha timu yake kusonga mbele kwa mabao ya ugenini kufuatia kufungwa 4-2 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'We have five days' - Amorim on Man Utd line-up at Chelsea
-
Manchester United manager Ruben Amorim says his side have plenty of time to
prepare for the Europa League final against Tottenham after he selected a
stron...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment