Kiungo wa zamani wa Bayern Munich, Sebastian Rode akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Eintracht Frankfurt ikiilaza 2-0 Benfica katika mchezo wa marudiano Robo Fainali Europa League usiku wa jana Uwanja wa PSD Bank Arena mjini Frankfurt am Main na kufanya sare ya jumla ya 4-4 lakini akiiwezesha timu yake kusonga mbele kwa mabao ya ugenini kufuatia kufungwa 4-2 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Oyakhilome unveils electric cars as Christ Embassy enters auto industry
-
Pastor Chris Oyakhilome, founder of Christ Embassy, has unveiled a range of
electric vehicles under the Tsion brand, marking the church’s expansion
into ...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment