Mohamed Salah akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la pili Liverpool dakika ya 53 kufuatia Sadio Mane kufunga la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unairejesha Liverpool kileleni ikifikisha pointi 85 baada ya kucheza mechi 34, sasa ikiizidi Manchester City pointi mbili ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Over 12 inmates escape in Kogi jailbreak
-
From Emmanuel Adeyemi, Lokoja More than 12 inmates are said to have escaped
after they forcefully broke the walls of Kotonkarfe Federal Prison,
overpower...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment