Kocha Zinedine Zidane akiwa haamini macho yake jana baada ya Real Madrid kuchapwa kwa mara ya kwanza chini yake, ikifungwa 2-1 na Valencia katika mchezo wa La Liga usiku wa jana hicho kikiwa kipigo cha tisa kwa timu hiyo msimu huu kwenye ligi hiyo. Mabao ya Valencia yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 35 na Ezequiel Garay dakika ya 83, wakati la Real Madrid ambayo sasa inazidiwa pointi 13 na Barcelona inayoongoza La Liga, lilifungwa na Karim Benzema dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter FitzSimons reignites his feud with James Graham after the footy star
called him a 'parasite'
-
Columnist and renowned author Peter FitzSimons has reignited his ugly feud
with James Graham after the former footy star turned NRL commentator
recently ca...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment