Kocha Zinedine Zidane akiwa haamini macho yake jana baada ya Real Madrid kuchapwa kwa mara ya kwanza chini yake, ikifungwa 2-1 na Valencia katika mchezo wa La Liga usiku wa jana hicho kikiwa kipigo cha tisa kwa timu hiyo msimu huu kwenye ligi hiyo. Mabao ya Valencia yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 35 na Ezequiel Garay dakika ya 83, wakati la Real Madrid ambayo sasa inazidiwa pointi 13 na Barcelona inayoongoza La Liga, lilifungwa na Karim Benzema dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Carrick has been set up to fail by Ineos - but it's not the first
time he's been let down by his bosses. This is the proof he's the perfect
manager for Man United's threadbare squad
-
Carrick does not quite have a full-scale rebuild on his hands at United,
but he is entitled to feel the sting of indignation about how he is being
sent int...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment