Kocha Zinedine Zidane akiwa haamini macho yake jana baada ya Real Madrid kuchapwa kwa mara ya kwanza chini yake, ikifungwa 2-1 na Valencia katika mchezo wa La Liga usiku wa jana hicho kikiwa kipigo cha tisa kwa timu hiyo msimu huu kwenye ligi hiyo. Mabao ya Valencia yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 35 na Ezequiel Garay dakika ya 83, wakati la Real Madrid ambayo sasa inazidiwa pointi 13 na Barcelona inayoongoza La Liga, lilifungwa na Karim Benzema dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid PULL OUT of signing Enzo Fernandez and release bizarre public
statement 'out of respect for Chelsea' denying any interest in £120m deal
-
Real Madrid have announced they will not be signing £120million Enzo
Fernandez from Chelsea - and have 'not made any effort direct or indirect
to sign the ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment