Kocha Zinedine Zidane akiwa haamini macho yake jana baada ya Real Madrid kuchapwa kwa mara ya kwanza chini yake, ikifungwa 2-1 na Valencia katika mchezo wa La Liga usiku wa jana hicho kikiwa kipigo cha tisa kwa timu hiyo msimu huu kwenye ligi hiyo. Mabao ya Valencia yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 35 na Ezequiel Garay dakika ya 83, wakati la Real Madrid ambayo sasa inazidiwa pointi 13 na Barcelona inayoongoza La Liga, lilifungwa na Karim Benzema dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pressure mounts on Bodejo to drop out of Senate race
-
Pressure mounts on Abdullahi Bello Bodejo to quit the Taraba Central
senatorial race after his arrest, detention and alleged pressure to
withdraw.
The p...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment