Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Arsenal dakika ya 36 ikishinda 1-0 dhidi ya wenyeji, Napoli kwenye mchezo wa marudiano Robo Fainali UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjini Napoli. Kwa matokeo hayo, Arsenal inatinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-0 baada ya kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza London na sasa itamenyana na Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U23 will zu Hause gegen Aue nachlegen
-
Borussia Dortmunds U23 ist seit zwei Spielen ungeschlagen, am vergangenen
Wochenende gelang ein 5:0-Sieg beim VfB Lübeck. Am Samstag soll der nächste
Sieg ...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment