Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Arsenal dakika ya 36 ikishinda 1-0 dhidi ya wenyeji, Napoli kwenye mchezo wa marudiano Robo Fainali UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjini Napoli. Kwa matokeo hayo, Arsenal inatinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-0 baada ya kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza London na sasa itamenyana na Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers' Gerard Gallant Calls Out Hurricanes' 'Bulls--t' at End of Game 3
-
The New York Rangers got on the board in their second-round playoff series
against the Carolina Hurricanes with a 3-1 victory in Sunday's Game 3, but
New Y...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni