Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Arsenal dakika ya 36 ikishinda 1-0 dhidi ya wenyeji, Napoli kwenye mchezo wa marudiano Robo Fainali UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjini Napoli. Kwa matokeo hayo, Arsenal inatinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-0 baada ya kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza London na sasa itamenyana na Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beloved Candy Store Chain to Close Over ‘Economic Pressures’ After 141
Years in Business
-
Lammes Candies, which first opened in 1885, will shut all of its Texas
location
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment