Phil Jagielka akiifungia bao pekee Everton dakika ya 10 kufuatia kuanza badala ya mgonjwa, Michael Keane Everton ikiilaza 1-0 Arsenal leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Kwa ushindi huo, Everton inafikisha pointi 46 baada ya kucheza mechi 33 na kupanda kwa nafasi mopja hadi ya tisa, Arsenal ikibaki na pointi zake 63 sawa na Chelsea katika nafasi ya nne baada ya wote kucheza mechi 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump will welcome Iran at World Cup - Infantino
-
US President Donald Trump has said Iran are "welcome" to take part in this
summer's World Cup despite the countries being at war, according to Fifa
preside...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment