Phil Jagielka akiifungia bao pekee Everton dakika ya 10 kufuatia kuanza badala ya mgonjwa, Michael Keane Everton ikiilaza 1-0 Arsenal leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Kwa ushindi huo, Everton inafikisha pointi 46 baada ya kucheza mechi 33 na kupanda kwa nafasi mopja hadi ya tisa, Arsenal ikibaki na pointi zake 63 sawa na Chelsea katika nafasi ya nne baada ya wote kucheza mechi 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rising to the occasion! Youri Tielemans and Emiliano Buendia score stunning
goals to put Aston Villa on the brink of Europa League glory in Istanbul
-
Aston Villa stars rose to the occasion of the Europa League final
with Youri Tielemans and Emiliano Buendia scoring two stunning goals to put
Unai Emery's ...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment