Phil Jagielka akiifungia bao pekee Everton dakika ya 10 kufuatia kuanza badala ya mgonjwa, Michael Keane Everton ikiilaza 1-0 Arsenal leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Kwa ushindi huo, Everton inafikisha pointi 46 baada ya kucheza mechi 33 na kupanda kwa nafasi mopja hadi ya tisa, Arsenal ikibaki na pointi zake 63 sawa na Chelsea katika nafasi ya nne baada ya wote kucheza mechi 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Awkward moment Max Verstappen addresses George Russell feud after Formula
One star labelled champion a 'bully' following X-rated bust-up last season
-
The reigning Formula One world champion and British Mercedes driver have
been at loggerheads for some time and it appears they're no closer to
making up.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment