Lionel Messi wa Barcelona akiwa ameumia uso baada ya kugongana na Chris Smalling wa Manchester United kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kipindi cha kwanza usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Barcelona ilishinda 1-0 bao la kujifunga la Luke Shaw dakika ya 12 na timu hizo zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Camp Nou, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Oyakhilome unveils electric cars as Christ Embassy enters auto industry
-
Pastor Chris Oyakhilome, founder of Christ Embassy, has unveiled a range of
electric vehicles under the Tsion brand, marking the church’s expansion
into ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment