Lionel Messi wa Barcelona akiwa ameumia uso baada ya kugongana na Chris Smalling wa Manchester United kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kipindi cha kwanza usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Barcelona ilishinda 1-0 bao la kujifunga la Luke Shaw dakika ya 12 na timu hizo zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Camp Nou, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chilling text NASCAR star Greg Biffle's wife sent to her mom just
minutes before tragic plane crash
-
Seven people were killed on Thursday after a Cessna C550 private jet, owned
by the 55-year-old racing driver, crashed on the runway at Statesville
Regional...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment