Lionel Messi wa Barcelona akiwa ameumia uso baada ya kugongana na Chris Smalling wa Manchester United kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kipindi cha kwanza usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Barcelona ilishinda 1-0 bao la kujifunga la Luke Shaw dakika ya 12 na timu hizo zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Camp Nou, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Giannis, Damian Lillard Working for Return to Bucks from Injuries;
Status TBD
-
Milwaukee Bucks stars Giannis Antetokounmpo (calf) and Damian Lillard
(Achilles) reportedly might be on the floor for Thursday's Game 6 of their
first-round…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment