Lionel Messi wa Barcelona akiwa ameumia uso baada ya kugongana na Chris Smalling wa Manchester United kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kipindi cha kwanza usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Barcelona ilishinda 1-0 bao la kujifunga la Luke Shaw dakika ya 12 na timu hizo zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Camp Nou, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I didn’t announce Broda Shaggi’s death – Officer Woos threatens legal action
-
Nigerian content creator Jubril Oladapo, popularly known as Officer Woos,
has denied reports claiming he announced the death of fellow skit maker
Broda S...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment