Kinda mwenye kipaji wa Ajax, Matthijs de Ligt akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya67 usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino ikiwalaza 2-1 wenyeji, Juventus katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Cristiano Ronaldo alianza kuifungia Juventus dakika ya 28, kabla ya Donny van de Beek kusawazisha dakika ya 34 na kwa matokeo hayo, Ajax inakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 kufuatia sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Amsterdam na itamenyana na mshindi wa jumla kati ya Tottenham na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson brawls TOPLESS in the street with Shannon 'The Cannon' Briggs as
fans look on, before sharing a laugh together during a Brooklyn reunion
-
Mike Tyson brawled topless with Shannon 'The Cannon' Briggs after a street
reunion in Brooklyn - as the pair were surrounded by fans.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment