Jordi Alba akishangilia na mchezaji mwenzake, Arturo Vidal baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 64 akimalizia pasi ya Lionel Messi ikiilaza 2-1 Real Sociedad katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Bao la kwanza lilifungwa na Clément Lenglet dakika ya 45 akimalizia pasi ya Ousmane Dembele kabla ya Juanmi kuisawazishia Real Sociedad dakika ya 62 kwa pasi ya Mikel Merino na kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 33 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tisa zaidi ya Atlético Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC’s Ikeje Asogwa declared winner of Enugu North Senate by-election
-
INEC declares APC candidate Ikeje Asogwa winner of Enugu North Senatorial
by-election with 162,360 votes, defeating PDP’s Nestor Ezeme.
The post APC’s Ik...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment