Beki wa Valencia, Mouctar Diakhaby akijaribu kumzuia Daniel Raba wa Villareal katika mchezo wa marudiano wa Europa League usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Valencia ilishinda 2-0, mabao ya Toni Lato dakika ya 13 na Dani Parejo dakika ya 54 na kutinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-1 na sasa itakutana na Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beloved Candy Store Chain to Close Over ‘Economic Pressures’ After 141
Years in Business
-
Lammes Candies, which first opened in 1885, will shut all of its Texas
location
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment