Beki wa Valencia, Mouctar Diakhaby akijaribu kumzuia Daniel Raba wa Villareal katika mchezo wa marudiano wa Europa League usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Valencia ilishinda 2-0, mabao ya Toni Lato dakika ya 13 na Dani Parejo dakika ya 54 na kutinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-1 na sasa itakutana na Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PGA Championship 2022: Leaderboard Scores, Highlights and Cut Line from Friday
-
Will Zalatoris leads the PGA Championship field at nine-under after
shooting Zalatoris, the Masters runner-up, Cantlay BErger +13
Saa 1 iliyopita
0 maoni:
Chapisha Maoni