Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 45 kabla ya David Neres kuisawazishia Ajax dakika ya 46 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 usiku wa jana kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam na sasa zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Allianz mjini Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thomas Tuchel bites back at Bayern Munich chief Uli Hoeness' claims that he
'can't improve players', saying he is 'offended deeply as a coach' and
questions timing ahead of Real Madrid showdown
-
Tuchel (left) is due to leave in the summer and they are reportedly in
talks with Ralf Rangnick to replace him, but more than 17,000 fans have
signed a pet...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment