Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 45 kabla ya David Neres kuisawazishia Ajax dakika ya 46 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 usiku wa jana kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam na sasa zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Allianz mjini Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
County cricket's civil war is breaking out - LAWRENCE BOOTH reveals secret
meeting of 'have nots' as the Hundred threatens 11 counties with looming
'cliff edge' of spiralling costs, their best players being pinched and
'irrelevance or failure'
-
The meeting was called due to increasing worries among non-host counties
about spiralling costs and inflation. A document seen by Daily Mail Sport
flagged ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment