Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 44 kufuatia Kevin De Bruyne kufunga la kwanza dakika ya sita ikiilaza 2-0 Cardiff City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Manchester City inafikisha pointi 80 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LeBron James and the Lakers are OUT of the NBA playoffs as last-gasp
108-106 defeat to the Nuggets seals 4-1 first-round series loss
-
Knowing a win was required to keep the series alive at 3-1 down, LeBron put
up 30 points as he desperately tried to pull the Lakers over the line.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment