Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 44 kufuatia Kevin De Bruyne kufunga la kwanza dakika ya sita ikiilaza 2-0 Cardiff City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Manchester City inafikisha pointi 80 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup Breakfast: Cristiano Ronaldo makes more history in dramatic
Croatia clash, Hollywood power couple enjoy Spain win, match highlights -
and what to look out for
-
Hello and welcome to Daily Mail Sport's World Cup Breakfast from day 22 at
the tournament - your one-stop shop for everything you've missed overnight
in No...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment