Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 44 kufuatia Kevin De Bruyne kufunga la kwanza dakika ya sita ikiilaza 2-0 Cardiff City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Manchester City inafikisha pointi 80 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Struggling Paul Skenes pulled from latest concerning performance as he
returns for first time since hitting the beach with his 'dad bod'
-
Pittsburgh Pirates star Paul Skenes continued the roughest stretch of his
professional soccer career on Wednesday after the team gave him a break to
recove...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment