Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 63 ikiilaza 1-0 Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor leo. Ushindi huo unaifanya Man City ifikishe pointi 92 baada ya kucheza mechi 36 na kurejea kileleni kwenye Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hajj 2026: Lagos completes airlift of 1,600 pilgrims to Saudi Arabia
-
By Lukman Olabiyi Lagos State Government has concluded the airlift of its
2026 Hajj intending pilgrims to the Kingdom of Saudi Arabia, marking the
succes...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment