Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 63 ikiilaza 1-0 Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor leo. Ushindi huo unaifanya Man City ifikishe pointi 92 baada ya kucheza mechi 36 na kurejea kileleni kwenye Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bellerin waves goodbye to Betis as he prepares Arsenal return
-
Hector Bellerin made an emotional farewell to boyhood club Real Betis as
the fullback prepares to return to Arsenal after his loan move. Bellerin
spent la...
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni