Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 63 ikiilaza 1-0 Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor leo. Ushindi huo unaifanya Man City ifikishe pointi 92 baada ya kucheza mechi 36 na kurejea kileleni kwenye Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Zamfara: Police dispose of locally fabricated IED planted by criminals
along Kaura Namoda-Moriki road
-
The Zamfara State Police Command has once again demonstrated its prompt
operational response to emerging security threats following the successful
interv...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment