Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 63 ikiilaza 1-0 Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor leo. Ushindi huo unaifanya Man City ifikishe pointi 92 baada ya kucheza mechi 36 na kurejea kileleni kwenye Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New Zealand Warriors star's courageous act of sacrifice to produce NRL
moment for the ages
-
Roger Tuivasa-Sheck is in the twilight of his footy career - but the
veteran turned back the clock on Friday with an inspiring play his Warriors
teammates ...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment