Luis Suarez akikimbia kushangilia baada ya mpira alioupiga kwa kichwa kuunganishiwa nyavuni na Luke Shaw (hayupo pichani) aliyejifunga dakika ya 12 kuipatia Barcelona bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Camp Nou, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Billy Vunipola was TEETOTAL for almost two years - but fell off
the wagon spectacularly in Majorca with drunken arrest after police
'Tasered him when he downed four Amarettos'
-
For the last 20 months, the younger of Saracens' two Vunipola brothers had
banished the booze as he strove to re-establish career momentum.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment