Luis Suarez akikimbia kushangilia baada ya mpira alioupiga kwa kichwa kuunganishiwa nyavuni na Luke Shaw (hayupo pichani) aliyejifunga dakika ya 12 kuipatia Barcelona bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Camp Nou, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Lineker aims another dig at BBC over 'Work from Home' World Cup as he
talks up his own £14m Netflix show - and names the one famous name who
WON'T be appearing alongside him
-
Gary Lineker has taken a swipe at the BBC's coverage of the World Cup this
summer, expressing relief that he won't be 'working from a green box in
Salford'.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment