Luis Suarez akikimbia kushangilia baada ya mpira alioupiga kwa kichwa kuunganishiwa nyavuni na Luke Shaw (hayupo pichani) aliyejifunga dakika ya 12 kuipatia Barcelona bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Camp Nou, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis expert reveals what Iga Swiatek is REALLY like behind the scenes
after World No 2 enraged fans by smashing ball at a ball kid in shocking
moment
-
The Pole came under fire after she smashed a ball at a ball kid following
her devastating loss to Russian teenager Mirra Andreeva 7-6 1-6 6-3 to
reach the ...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment