SAHAU KAMBI, KILAMBO NA KABURU WALIPOKUWA RELI MOROGORO
WACHEZAJI wa Reli ya Morogoro kutoka kulia, Ramadhani Kilambo, Abdallah Suleiman ‘Kaburu’ na kipa Sahau Said Kambi (sasa marehemu) kabla ya moja ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (sasa Ligi Kuu) mwaka 1994 Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro
0 comments:
Post a Comment