Phil Foden akiifungia bao pekee Manchester City dakika ya tano tu ikiilaza Tottenham Hotspur 1-0 leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unaifanya Man City ifikishe pointi 86 baada ya kucheza mechi 34 na kurejea kileleni, sasa ikiizidi pointi mbili Liverpool inayofuatia nafasi ya pili, mbele ya Tottenham yenye pointi 67 za mechi 34 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tyson Fury could still pull out of the Oleksandr Usyk fight claims George
Groves as vents about the WBC not penalising the Gypsy King
-
George Groves believes Tyson Fury could still pull out of the undisputed
title fight with Oleksandr Usyk and claims the WBC will do nothing about it.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment