Phil Foden akiifungia bao pekee Manchester City dakika ya tano tu ikiilaza Tottenham Hotspur 1-0 leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unaifanya Man City ifikishe pointi 86 baada ya kucheza mechi 34 na kurejea kileleni, sasa ikiizidi pointi mbili Liverpool inayofuatia nafasi ya pili, mbele ya Tottenham yenye pointi 67 za mechi 34 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BREAKING: Kylian Mbappe set to stay at PSG this summer
-
Kylian Mbappe will sign a new three-year contract with Paris Saint-Germain.
The France forward has agreed to a three-year contract extension that is
close ...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni