Phil Foden akiifungia bao pekee Manchester City dakika ya tano tu ikiilaza Tottenham Hotspur 1-0 leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unaifanya Man City ifikishe pointi 86 baada ya kucheza mechi 34 na kurejea kileleni, sasa ikiizidi pointi mbili Liverpool inayofuatia nafasi ya pili, mbele ya Tottenham yenye pointi 67 za mechi 34 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MLS: St Louis City make it five wins from five with thrashing of Real Salt Lake
-
The league's newest team came in being tipped to struggle by fans and
pundits, but have enjoyed a near-miraculous start, scoring 15 goals in just
five matc...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment