Son Heung-min akinyoosha kidole kwenye beji ya Tottenham Hotspur kwa furaha baada ya kuifungia bao pekee dakika ya 78 ikiilaza 1-0 Manchester City katika Robo Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Sergio Aguero alikosa penalti kwenye mchezo huo baada ya shuti lake kupanguliwa na kipa Hugo Lloris kufuatia Danny Rose kuunawa mpira uliopigwa na Raheem Sterling na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Etihad mjini Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Man United's Bilbao masterplan: Why they're staying away as long as
possible, how Ruben Amorim fine-tuned his squad and the players' massive
jackpot if they win Europa League final
-
NATHAN SALT: Spurs have metaphorically wrapped their stars in cotton wool,
given free tickets and flew out on Monday. Ruben Amorim and Manchester
United ha...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment