Son Heung-min akinyoosha kidole kwenye beji ya Tottenham Hotspur kwa furaha baada ya kuifungia bao pekee dakika ya 78 ikiilaza 1-0 Manchester City katika Robo Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Sergio Aguero alikosa penalti kwenye mchezo huo baada ya shuti lake kupanguliwa na kipa Hugo Lloris kufuatia Danny Rose kuunawa mpira uliopigwa na Raheem Sterling na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Etihad mjini Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Barely Driven: This 5,684-Mile 1987 Pontiac Fiero SE Is a True 1980s Time
Capsule
-
With just 5,684 miles on the clock, this unrestored 1987 Pontiac Fiero SE,
finished in silver over gray with the desirable 2.8-liter V6 and five-speed
manu...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment