Son Heung-min akinyoosha kidole kwenye beji ya Tottenham Hotspur kwa furaha baada ya kuifungia bao pekee dakika ya 78 ikiilaza 1-0 Manchester City katika Robo Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Sergio Aguero alikosa penalti kwenye mchezo huo baada ya shuti lake kupanguliwa na kipa Hugo Lloris kufuatia Danny Rose kuunawa mpira uliopigwa na Raheem Sterling na timu hizo zitarudiana Aprili 17 Uwanja wa Etihad mjini Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aurelien Tchouameni gatecrashes Thomas Muller's interview after Bayern
Munich drew with Real Madrid - causing the German to joke that the
Frenchman was 'listening' for tactical hints ahead of the second leg
-
Aurelien Tchouameni gatecrashed Thomas Muller's CBS interview after the
captivating 2-2 draw between Bayern Munich and Real Madrid.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment