Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kusawazisha dakika ya 64 katika sare ya 2-2 na Valencia usiku huu kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Messi pia alifunga bao la kwanza la Barcelona kwa penalti dakika ya 39, kabla ya Valencia kusawazisha kupitia kwa Kevin Gameiro dakika ya 24 na kufunga la pili kupitia kwa Dani Parejo kwa penalti dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy rivalries put aside as MND-stricken Jai Arrow is honoured at AFL's
Big Freeze
-
Retired NRL star Jai Arrow is being honoured in some special ways - and has
now made an appearance on one of the AFL's most important days
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment