Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kusawazisha dakika ya 64 katika sare ya 2-2 na Valencia usiku huu kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Messi pia alifunga bao la kwanza la Barcelona kwa penalti dakika ya 39, kabla ya Valencia kusawazisha kupitia kwa Kevin Gameiro dakika ya 24 na kufunga la pili kupitia kwa Dani Parejo kwa penalti dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'It's a question I shouldn't answer': Jose Mourinho delivers verdict on
Ruben Amorim and his future - after in-demand Sporting Lisbon boss
apologised for holding talks with Premier League clubs
-
The 39-year-old has been in talks to take over at both Liverpool and West
Ham. Last week, it appeared the Sporting boss had flown to London to sit
down for...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment