Mshambuliaji Mbrazil, Gabriel Jesus akisaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuichezea Manchester City hadi mwaka 2023 ambao unamfanya sasa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 awe analipwa Pauni 100,000 kutoka 70,000 kwa wiki alizokuwa analipwa katika mkataba wake wa awali aliosaini Januari 1, mwaka jana 2017. Jesus amefunga mabao 24 tangu ajiunge na Man City akiiwezesha pia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Racing driver's haunting final post just hours before tragic death in
seven-car crash during race that Formula One star Max Verstappen was taking
part in
-
A racing driver who was killed in a horror seven-car crash at Germany's
iconic Nurburgring circuit had shared his excitement at competing in the
event just...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment