Mshambuliaji Mbrazil, Gabriel Jesus akisaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuichezea Manchester City hadi mwaka 2023 ambao unamfanya sasa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 awe analipwa Pauni 100,000 kutoka 70,000 kwa wiki alizokuwa analipwa katika mkataba wake wa awali aliosaini Januari 1, mwaka jana 2017. Jesus amefunga mabao 24 tangu ajiunge na Man City akiiwezesha pia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary golf commentator and former Ryder Cup star Peter Oosterhuis dies
aged 75
-
After retiring from professional golf in the mid-Nineties, Oosterhuis
became one of the most popular commentators in the game with CBS in the
United States.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment