• HABARI MPYA

    Saturday, December 16, 2017

    KIVU MAWE KUZIPIGA MA JACOB MAGANGA DESEMBA 31 TAIFA

    Bondia Kivu Abdi 'Kivu Mawe' (kushoto) akitunishiana misuli na Jacob Maganga baada ya kusaini mkataba wa makubaliano ya kuzipiga Desemba 31, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika pambano lisilo la ubingwa uzito wa Light Middle
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIVU MAWE KUZIPIGA MA JACOB MAGANGA DESEMBA 31 TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top