Nahodha wa Australia, Mile Jedinak akishangilia baada ya kuifungia mabao yote matatu timu yake dakika ya 54 na mengine mawili kwa penalti dakika za 71 na 85, ikiilaza 3-1 Honduras katika mchezo wa mchujo wa kuwania tiketi ya Kombe la Dunia mwakani Urusi uliofanyika leo Uwanja wa ANZ mjini Sydney. Ushindi huo unaifanya Australia ifuzu Kombe la Dunia baada ya sare ya 0-0 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jae'Lyn Withers Announces Return to UNC for 2024-25 Season for Final Year
of CBB
-
North Carolina is getting another member of the 2023-24 ACC regular-season
championship team back for one more year. Forward Jae'Lyn Withers told CBS
Sports'…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment