Beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (katikati) akipambana na wachezaji wa Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-1
Kiungo wa Simba SC, Mwinyi Kazimoto akimtoka mchezaji wa Ruvu Shooting
Kipa wa Ruvu Shooting, Abdallah Rashid akiwa amedaka mpira jana
Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akimtoka mchezaji wa Ruvu Shooting
0 comments:
Post a Comment