Gonzalo Higuain akishangilia baada ya kuifungia Juventus dakika ya 31 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Dinamo Zagreb Uwanja wa Maksimir mjini Zagreb usiku huu katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Juve yamefungwa na Miralem Pjanic dakika ya 24, Paulo Dybala dakika ya 57 na Daniel Alves dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Evans steps out of shadows into spotlight with Scotland's fourth gold
-
Angharad Evans was overlooked before these Commonwealth Games. But now the
Scotland swimmer is a gold medallist.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment