Gonzalo Higuain akishangilia baada ya kuifungia Juventus dakika ya 31 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Dinamo Zagreb Uwanja wa Maksimir mjini Zagreb usiku huu katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Juve yamefungwa na Miralem Pjanic dakika ya 24, Paulo Dybala dakika ya 57 na Daniel Alves dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans rip 'daily cringe' Tom Brady as he reveals crass name for his new
coconut drink
-
The 48-year-old shared a video on Instagram of his latest business venture,
where he leans into the name that stunned a few of his followers when they
saw ...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment