Gonzalo Higuain akishangilia baada ya kuifungia Juventus dakika ya 31 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Dinamo Zagreb Uwanja wa Maksimir mjini Zagreb usiku huu katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Juve yamefungwa na Miralem Pjanic dakika ya 24, Paulo Dybala dakika ya 57 na Daniel Alves dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chaos outside Madison Square Garden as thousands of NBA fans struggle to
get past metal detectors and police barricades ahead of Trump's arrival
-
Thousands of fans were stuck outside of Madison Square Garden ahead of the
President's arrival before the New York Knicks played San Antonio Spurs.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment