Gonzalo Higuain akishangilia baada ya kuifungia Juventus dakika ya 31 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Dinamo Zagreb Uwanja wa Maksimir mjini Zagreb usiku huu katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Juve yamefungwa na Miralem Pjanic dakika ya 24, Paulo Dybala dakika ya 57 na Daniel Alves dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans slam the 'shocking attitude' of Kylian Mbappe who appears to stop running
-
The French giants have started the campaign brightly under new manager
Christophe Galtier by winning both their opening two Ligue 1 matches and
scoring an ...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni