Kiungo mpya wa Manchester United aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 89, Paul Pogba akiruka juu kuifungia timu hiyo bao la nne dakika ya 42 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yalifungwa na Chir Smalling dakika ya 22, Juan Mata dakika ya 37 na Marcus Rashford dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LIV Golf's Pat Perez opts out of the lawsuit against the PGA Tour with 'no ill feelings'
-
Pat Perez has become the latest LIV Golf star to remove himself from the
antitrust lawsuit leveled at the PGA Tour. Carlos Ortiz has since removed
himself ...
Dakika 13 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni