Kiungo mpya wa Manchester United aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 89, Paul Pogba akiruka juu kuifungia timu hiyo bao la nne dakika ya 42 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yalifungwa na Chir Smalling dakika ya 22, Juan Mata dakika ya 37 na Marcus Rashford dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chaos outside Madison Square Garden as thousands of NBA fans struggle to
get past metal detectors and police barricades ahead of Trump's arrival
-
Thousands of fans were stuck outside of Madison Square Garden ahead of the
President's arrival before the New York Knicks played San Antonio Spurs.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment