Roberto Firmino akimpongeza Philippe Coutinho (kushoto) baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Derby County kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa iPro. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Ragnar Klavan dakika ya 24 na Divock Origi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three-time Cheltenham winner Sire Du Berlais suffers fatal injury at
Punchestown... with trainer Gordon Elliott 'absolutely heartbroken'
following death of 'horse of a lifetime'
-
The 12-year-old pulled up three hurdles from the end of the Ladbrokes
Champion Stayers Hurdle at Punchestown on Thursday.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment