Roberto Firmino akimpongeza Philippe Coutinho (kushoto) baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Derby County kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa iPro. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Ragnar Klavan dakika ya 24 na Divock Origi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US House committee opens investigation into Merck, AbbVie China drug trials
-
By Deena Beasley June 30 (Reuters) - A bipartisan group of U.S. lawmakers
has opened national security investigations into whether five drugmakers
includin...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment