Roberto Firmino akimpongeza Philippe Coutinho (kushoto) baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Derby County kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa iPro. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Ragnar Klavan dakika ya 24 na Divock Origi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs Crystal Palace - Premier League LIVE: Arne Slot's side eye
fourth while Tottenham go in search of their first win of the year at
relegated Wolves as rivals West Ham host Everton
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for Saturday's 3pm Premier League games
featuring Liverpool vs Crystal Palace, Wolves vs Tottenham and West Ham vs
Ever...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment