Roberto Firmino akimpongeza Philippe Coutinho (kushoto) baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Derby County kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa iPro. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Ragnar Klavan dakika ya 24 na Divock Origi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
India making no promises about debut for 15-year-old cricket sensation
Sooryavanshi
-
Vaibhav Sooryavanshi, India’s 15-year-old cricket sensation, might have to
wait a while longer before making his senior international debut.
Anticipation w...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment