Roberto Firmino akimpongeza Philippe Coutinho (kushoto) baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Derby County kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa iPro. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Ragnar Klavan dakika ya 24 na Divock Origi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
C’River 2027: BBNaija star, Phyna, bloggers stage one-million march for
Otu/Odey
-
Big Brother Naija Season 7 winner, Josephina Otabor, popularly known as
Phyna, and members of the National Association of Bloggers have mobilised
support...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment