Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akiifungia timu yake dakika ya 43 katika sare ya 2-2 na Real Madrid kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal Iduna Park. Bao lingine la Dortmund limefungwa ma Andre Schurrle dakika ya 87, wakati ya Real yamefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 17 na Raphael Varane dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes reveals the moment he knew Michael Carrick was ready for
the Man United job as captain explains how interim manager transformed the
club after Ruben Amorim tenure
-
Daily Mail Sport revealed this week that Carrick is in pole position to
land the Man United head coach role on a permanent basis after guiding the
club to ...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment