Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akiifungia timu yake dakika ya 43 katika sare ya 2-2 na Real Madrid kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal Iduna Park. Bao lingine la Dortmund limefungwa ma Andre Schurrle dakika ya 87, wakati ya Real yamefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 17 na Raphael Varane dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL team give brutal verdict on their first-round draft pick after opening
training camp
-
The Arizona Cardinals shocked the NFL by selecting a running back No. 3
overall. In spite of all that, the rusher in question might not even be the
Week 1 ...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment