Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akiifungia timu yake dakika ya 43 katika sare ya 2-2 na Real Madrid kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal Iduna Park. Bao lingine la Dortmund limefungwa ma Andre Schurrle dakika ya 87, wakati ya Real yamefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 17 na Raphael Varane dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Transocean and Valaris Stocks Trade Up, What You Need To Know
-
A number of stocks jumped in the morning session after Israel and Iran
launched direct strikes against each other over the weekend, the most
significant te...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment