Kocha Mreno wa Manchester United, Jose Mourinho akifurahia baada ya timu yake kushinda 3-1 dhidi ya wenyeji Northampton Town usiku huu Uwanja wa Sixfields. Mabao ya United yalifungwa na Michael Carrick dakika ya 17, Ander Herrera dakika ya 68 na Marcus Rashford dakika ya 75, wakati la wenyeji lilifungwa na Alex Revell kwa penalti dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John McGinn bursting with pride over giant mural in his home town as he
reveals the move to MLS that might have changed his career dramatically
-
As just the second captain in Aston Villa's history to lift a European
trophy, John McGinn might well find his image cast in bronze in the
Midlands one day.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment