Kocha Mreno wa Manchester United, Jose Mourinho akifurahia baada ya timu yake kushinda 3-1 dhidi ya wenyeji Northampton Town usiku huu Uwanja wa Sixfields. Mabao ya United yalifungwa na Michael Carrick dakika ya 17, Ander Herrera dakika ya 68 na Marcus Rashford dakika ya 75, wakati la wenyeji lilifungwa na Alex Revell kwa penalti dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bayer Leverkusen boss Xabi Alonso hints that David Moyes calling his bench
a 'disgrace' last week sparked bust-up with West Ham dug-out in return leg
that saw two assistant coaches sent off
-
The Hammers were knocked out after Leverkusen came from behind to claim a
1-1 draw at the London Stadium, with their 2-0 victory at the BayArena
giving the...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment