Gael Clichy akipongezwa na Kelechi Iheanacho na wachezaji wenzake wa Manchester City baada ya kuifungia timu hiyo bao la kwanza Uwanja wa Liberty katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Swansea City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu. Mabao ya City yalifungwa na Clichy dakika ya 49 na Aleix Garcia Serrano dakika ya 67, wakati la Swansea lilifunvgwa na Gylfi Sigurdsson dakika ya 93 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Liverpool have made contact over move for Serie A forward
-
Liverpool Transfer Latest: Francisco Conceicao Emerges as Bradley Barcola
AlternativeLiverpool’s search for attacking reinforcements appears to be
widening...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment