Gael Clichy akipongezwa na Kelechi Iheanacho na wachezaji wenzake wa Manchester City baada ya kuifungia timu hiyo bao la kwanza Uwanja wa Liberty katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Swansea City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu. Mabao ya City yalifungwa na Clichy dakika ya 49 na Aleix Garcia Serrano dakika ya 67, wakati la Swansea lilifunvgwa na Gylfi Sigurdsson dakika ya 93 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian tennis coach Wally Masur coach says Ash Barty was 'getting better' just before retirement
-
Legend Aussie tennis coach Wally Masur believes Ash Barty left the game
before reaching the peak of her powers - saying she left a few slams on the
table
Dakika 11 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni