Gael Clichy akipongezwa na Kelechi Iheanacho na wachezaji wenzake wa Manchester City baada ya kuifungia timu hiyo bao la kwanza Uwanja wa Liberty katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Swansea City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu. Mabao ya City yalifungwa na Clichy dakika ya 49 na Aleix Garcia Serrano dakika ya 67, wakati la Swansea lilifunvgwa na Gylfi Sigurdsson dakika ya 93 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John McGinn bursting with pride over giant mural in his home town as he
reveals the move to MLS that might have changed his career dramatically
-
As just the second captain in Aston Villa's history to lift a European
trophy, John McGinn might well find his image cast in bronze in the
Midlands one day.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment