Kiungo wa Simba, Jamal Mnyate (kulia) akiwania mpira dhidi ya beki wa Maji Maji ya Songea, Alex Kondo (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 4-0
Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajib akimtoka beki wa Maji Maji, Lulanga Mapunda
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) akijaribu kuwatoka wachezaji wa Maji Maji
Alex Kondo wa Maji Maji akimdhibiti kiungo wa Simba, Said Ndemla
Lulanga Mapunda wa Maji Maji akimdhibiti Shizza Kichuya wa Simba
Beki wa Simba, Janvier Besala Bokungu (kushoto) akimiliki mpira mbele ya beki wa Maji Maji, Tarik Simba
Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo akimtoka mchezaji wa Maji Maji
Kiungo wa Simba, Mohammed 'Mo' Ibrahim akimuacha chini beki wa Maji Manji
ALL IN mit Marcel Sabitzer
-
Sechs Torbeteiligungen in den vergangenen drei Partien: Marcel Sabitzer ist
aktuell in bestechender Form. Nun kehrt er mit dem BVB nach Leipzig und
damit a...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment