• HABARI MPYA

    Sunday, September 25, 2016

    SIMBA NA MAJI MAJI KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Kiungo wa Simba, Jamal Mnyate (kulia) akiwania mpira dhidi ya beki wa Maji Maji ya Songea, Alex Kondo (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 4-0
    Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajib akimtoka beki wa Maji Maji, Lulanga Mapunda
    Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) akijaribu kuwatoka wachezaji wa Maji Maji
    Alex Kondo wa Maji Maji akimdhibiti kiungo wa Simba, Said Ndemla 
    Lulanga Mapunda wa Maji Maji akimdhibiti Shizza Kichuya wa Simba
    Beki wa Simba, Janvier Besala Bokungu (kushoto) akimiliki mpira mbele ya beki wa Maji Maji, Tarik Simba  
    Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo akimtoka mchezaji wa Maji Maji
    Kiungo wa Simba, Mohammed 'Mo' Ibrahim akimuacha chini beki wa Maji Manji
    Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana
    Kikosi cha Maji Maji katika mchezo wa jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA NA MAJI MAJI KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top