Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akipasua katikati ya wachezaji wa Las Palmas katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Gran Canaria mjini Las Palmas visiwa vya Gran Canaria timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marco Asensio na Karim Benzema na ya wenyeji yakifungwa na Tana na Sergio Araujo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Delta: Women send SOS to Okowa, protest incessant shooting by oil bunkerers in community
-
From Joseph Obukata, Warri Hundreds of women from the Igbide community in
Isoko South Local Government Area of Delta State sent a ‘save our soul’
message...
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni