Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akipasua katikati ya wachezaji wa Las Palmas katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Gran Canaria mjini Las Palmas visiwa vya Gran Canaria timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marco Asensio na Karim Benzema na ya wenyeji yakifungwa na Tana na Sergio Araujo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes reveals the moment he knew Michael Carrick was ready for
the Man United job as captain explains how interim manager transformed the
club after Ruben Amorim tenure
-
Daily Mail Sport revealed this week that Carrick is in pole position to
land the Man United head coach role on a permanent basis after guiding the
club to ...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment