Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akipasua katikati ya wachezaji wa Las Palmas katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Gran Canaria mjini Las Palmas visiwa vya Gran Canaria timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marco Asensio na Karim Benzema na ya wenyeji yakifungwa na Tana na Sergio Araujo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL team give brutal verdict on their first-round draft pick after opening
training camp
-
The Arizona Cardinals shocked the NFL by selecting a running back No. 3
overall. In spite of all that, the rusher in question might not even be the
Week 1 ...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment