Adam Lallana akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 17 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Hull City Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na James Milner kwa penalti mawili dakika ya 30 na 71, Sadio Mane dakika ya 36 na Philippe Coutinho dakika ya 52, wakati bao pekee la Hull lilifungwa na David Meyler dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes reveals the moment he knew Michael Carrick was ready for
the Man United job as captain explains how interim manager transformed the
club after Ruben Amorim tenure
-
Daily Mail Sport revealed this week that Carrick is in pole position to
land the Man United head coach role on a permanent basis after guiding the
club to ...
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment