• HABARI MPYA

    Thursday, September 29, 2016

    BARCELONA YASHINDA 2-1 UGENINI, PIQUE AFUNGA

    Beki wa Barcelona, Gerard Pique (kushoto) akishangilia na Luis Suarez baada ya kufunga katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Borussia Monchengladbach katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Borussia-Park mjini Monchengladbach. Bao lingine la Barca lilifungwa na Arda Turan, wakati la Borussia Monchengladbach lilifungwa na Thorgan Hazard PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA YASHINDA 2-1 UGENINI, PIQUE AFUNGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top