Moussa Dembele (kulia) akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Celtic katika sare ya 3-3 na Manchester City katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ukaya usiku huu mjini Glasgow, Scotland. Bao lingine la Celtic limefungwa Raheem Sterling aliyejifunga wakati wa kuokoa na ya City yamefungwa na Fernandinho, Sterling na Nolito PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justin Baldoni’s Wayfarer Must Pay $170K in Damages After Failed New York
Times Defamation Suit
-
Justin Baldoni's Wayfarer Studios has been ordered to pay The New York
Times $171,000 following its failed defamation suit.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment