Moussa Dembele (kulia) akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Celtic katika sare ya 3-3 na Manchester City katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ukaya usiku huu mjini Glasgow, Scotland. Bao lingine la Celtic limefungwa Raheem Sterling aliyejifunga wakati wa kuokoa na ya City yamefungwa na Fernandinho, Sterling na Nolito PICHA ZAIDI GONGA HAPA
 Dreams FC coach Karim Zito says he will change game plan against Zamalek
in Kumasi
-
Dreams FC coach Abdul Karim Zito is gearing up to tweak his team's strategy
for their upcoming clash against Zamalek SC in Kumasi following their
impressiv...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment