Moussa Dembele (kulia) akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Celtic katika sare ya 3-3 na Manchester City katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ukaya usiku huu mjini Glasgow, Scotland. Bao lingine la Celtic limefungwa Raheem Sterling aliyejifunga wakati wa kuokoa na ya City yamefungwa na Fernandinho, Sterling na Nolito PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McConnell Hits 6 Weeks Since Hospitalization—As Health Concerns Persist
-
It is unclear when the Kentucky senator plans to return to Congress.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment