Karim Benzema na Cristiano Ronaldo wakiwa wamepagawa baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Villarreal nyumbani Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga wakishindwa kuendeleza wimbi la ushindi. Sergio Ramos alisababisha penalti iliyowapa Villarreal bao la kuongopza dakika ya 45 lililofungwa na Bruno Soriano, lakini akaisawazishia Real Madrid dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nicaragua’s government shutters one of last opposition radio stations
-
(Reuters) The Nicaraguan government ordered the closure of a radio station
known for its opposition against President Daniel Ortega, its director said
on...
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni