Karim Benzema na Cristiano Ronaldo wakiwa wamepagawa baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Villarreal nyumbani Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga wakishindwa kuendeleza wimbi la ushindi. Sergio Ramos alisababisha penalti iliyowapa Villarreal bao la kuongopza dakika ya 45 lililofungwa na Bruno Soriano, lakini akaisawazishia Real Madrid dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Evans steps out of shadows into spotlight with Scotland's fourth gold
-
Angharad Evans was overlooked before these Commonwealth Games. But now the
Scotland swimmer is a gold medallist.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment