Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' (kulia) akimtoka mchezaji wa Prisons katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Azam FC ilishinda 1-0
Gonazo Bi Thomas wa Azam FC (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpiga mchezaji wa Prisons
Nahodha wa Azam FC, John Bocco (kushoto) akimtoka mchezaji wa Prisons
Himid Mao wa Azam FC akimtoka mchezaji wa Prisons
Bruce Kangwa wa Azam FC (kulia) akigombea mpira na mchezaji wa Prisons
0 comments:
Post a Comment