Lucas Perez akipongezwa na wachezaji wenzake wa Arsenal baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 71 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Nottingham Forest kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa City. Perez alifunga bao lingine dakika ya 60, wakati mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Granit Xhaka dakika ya 23 na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 93 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
C’River 2027: BBNaija star, Phyna, bloggers stage one-million march for
Otu/Odey
-
Big Brother Naija Season 7 winner, Josephina Otabor, popularly known as
Phyna, and members of the National Association of Bloggers have mobilised
support...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment