Mshambuliaji Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Barcelona katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Sporting Gijon Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Rafinha, Neymar mawili na Arda Turan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ICE deports former NFL player
-
Daniel Ogama Adongo, 37, was removed from the U.S. on June 20 after ICE
said he overstayed his visa in 2016
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment