Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiondoka uwanjani baada ya kuumia timu yake ikilazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Atletico Madrid katika mchezo wa La Liga usiku huu. Ivan Rakitic alianza kuifungia Barca dakika ya 41, kabla ya Angel Correa kuisawazishia Atletico dakika ya 61. Barcelona imesema Messi atakuwa nje kwa wiki tatu kufutia kuumia nyonga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans rip 'daily cringe' Tom Brady as he reveals crass name for his new
coconut drink
-
The 48-year-old shared a video on Instagram of his latest business venture,
where he leans into the name that stunned a few of his followers when they
saw ...
13 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment