Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiondoka uwanjani baada ya kuumia timu yake ikilazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Atletico Madrid katika mchezo wa La Liga usiku huu. Ivan Rakitic alianza kuifungia Barca dakika ya 41, kabla ya Angel Correa kuisawazishia Atletico dakika ya 61. Barcelona imesema Messi atakuwa nje kwa wiki tatu kufutia kuumia nyonga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chaos outside Madison Square Garden as thousands of NBA fans struggle to
get past metal detectors and police barricades ahead of Trump's arrival
-
Thousands of fans were stuck outside of Madison Square Garden ahead of the
President's arrival before the New York Knicks played San Antonio Spurs.
6 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment