Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiondoka uwanjani baada ya kuumia timu yake ikilazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Atletico Madrid katika mchezo wa La Liga usiku huu. Ivan Rakitic alianza kuifungia Barca dakika ya 41, kabla ya Angel Correa kuisawazishia Atletico dakika ya 61. Barcelona imesema Messi atakuwa nje kwa wiki tatu kufutia kuumia nyonga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian tennis coach Wally Masur coach says Ash Barty was 'getting better' just before retirement
-
Legend Aussie tennis coach Wally Masur believes Ash Barty left the game
before reaching the peak of her powers - saying she left a few slams on the
table
Dakika 21 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni