Cesc Fabregas akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 92 na 94 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa King Power. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Gary Cahill dakika ya 47 na Cesar Azpilicueta dakika yav 49, wakati ya Leicester yalifungwa na Shinji Okazaki dakika ya 17 na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police arrest man, 43, after shocking moment a teenage linesman is 'PUNCHED
to the floor by a staff member' in a sudden mid-game attack
-
Footage caught the moment a young player, who had volunteered to be the
linesman in the game, appeared to be punched in the face by a staff member
from a r...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment