Cesc Fabregas akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 92 na 94 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa King Power. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Gary Cahill dakika ya 47 na Cesar Azpilicueta dakika yav 49, wakati ya Leicester yalifungwa na Shinji Okazaki dakika ya 17 na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot hints Alisson could leave Liverpool this summer, with injury-hit
goalkeeper targeted by Juventus
-
Arne Slot has not ruled out the possibility of Alisson leaving Liverpool
this summer. The injury-hit No 1 goalkeeper, currently out of action yet
again for...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment