Cesc Fabregas akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 92 na 94 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa King Power. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Gary Cahill dakika ya 47 na Cesar Azpilicueta dakika yav 49, wakati ya Leicester yalifungwa na Shinji Okazaki dakika ya 17 na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
C’River 2027: BBNaija star, Phyna, bloggers stage one-million march for
Otu/Odey
-
Big Brother Naija Season 7 winner, Josephina Otabor, popularly known as
Phyna, and members of the National Association of Bloggers have mobilised
support...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment