Wachezaji wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys wakiwa nje ya ndege ya shirika la Rwanda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam tayari kwa safari ya Kigali kwenda kuweka kambi ya zaidi ya wiki moja kujiandaa na mchezo wa mwisho wa mchujo wa kufuzu Fainali za vijana Afrika mwakani Madagascar dhidi ya wenyeji Komgo - Brazaville baada ya Jumapili kushinda 3-2 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. na ushei kujaimeondoka saa 3.00 asubuhi kwenda Kigali, Rwanda. Serengeti Boys iliyoondoka saa 3:00 inatarajiwa kutua Kigali saa 4.30 asubuhi
Liverpool failed but gave fans hope that the Jurgen Klopp era can still
have a magical ending, writes LEWIS STEELE
-
LEWIS STEELE AT STADIO DI BERGAMO: If you are going to fail, then make sure
you fail beautifully. That was the rallying cry of Jurgen Klopp beforehand.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment