Mshambuliaji wa Simba SC, Danny Lyanga akikabidhiwa mkataba wake na kiongozi wa Fanja jana baada ya kufuzu majaribio. Lyanga awali alifanya majaribio Oman Club, ambako pamoja na kufuzu hakusaini, akasaini Fanja mkataba wa miaka miwili. Haijajulikana Simba SC imemuuza kwa kiasi gani cha fedha mchezaji huyu.
NFL star rocks the Tampa Bay Buccaneers by demanding a trade just weeks
before the season begins
-
A first-round draft pick in 2018, Vea has now put rival teams on alert for
a blockbuster move just weeks before the new NFL season gets underway.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment