Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia bao lake la pili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Hull City Uwanja wa KCOM. Sanchez alifunga dakika za 17 na 83, wakati mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Theo Walcott dakika ya 55 na Granit Xhaka dakika ya 90 na ushei, huku la wenyeji likifungwa na Robert Snodgrass kwa penalti dakika ya 79, baada ya kipa Petr Cech kumchezea rafu Dieumerci Mbokani kwenye boksi. Beki wa Hull, Jake Livermore alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuzuia shuti la Francis Coquelin kwa mkono PICHA ZAIDI GONGA HAPA
George Kittle spotted at the airport with his suit as NFL star and his wife
finally head to Taylor Swift and Travis Kelce's wedding after severe delay
-
San Francisco 49ers star George Kittle and his wife Claire were spotted
beginning their journey to the Big Apple, where Kelce and Swift are
expected to tie...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment