Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia bao lake la pili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Hull City Uwanja wa KCOM. Sanchez alifunga dakika za 17 na 83, wakati mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Theo Walcott dakika ya 55 na Granit Xhaka dakika ya 90 na ushei, huku la wenyeji likifungwa na Robert Snodgrass kwa penalti dakika ya 79, baada ya kipa Petr Cech kumchezea rafu Dieumerci Mbokani kwenye boksi. Beki wa Hull, Jake Livermore alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuzuia shuti la Francis Coquelin kwa mkono PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson Taunts Jake Paul as Boxing Match Announced as a Sanctioned, Pro
Fight
-
The Texas Department of Licensing and Regulations is sanctioning the
scheduled bout between Mike Tyson and Jake Paul as an official fight. "Mike
Tyson and…
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment