Wakali watatu wa Barcelona, kutoka kushoto Lionel Messi, Luis Suarez na Neymar wakishangilia ushindi wa 5-1 ugenini dhidi ya wenyeji Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque mjini Leganes katika mchezo wa La Liga leo. Messi alifunga mabao mawili dakika za 15 na 55, Suarez moja dakika ya 31, Neymar moja dakika ya 44 na lingine Rafinha dakika ya 64, wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Gabriel dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Arsenal left praying while Man City shine as end game nears'
-
Arsenal are left "praying" as Manchester City home in on a fourth
successive Premier League title, writes Simon Stone.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment