Wakali watatu wa Barcelona, kutoka kushoto Lionel Messi, Luis Suarez na Neymar wakishangilia ushindi wa 5-1 ugenini dhidi ya wenyeji Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque mjini Leganes katika mchezo wa La Liga leo. Messi alifunga mabao mawili dakika za 15 na 55, Suarez moja dakika ya 31, Neymar moja dakika ya 44 na lingine Rafinha dakika ya 64, wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Gabriel dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup pitch-invading dwarf reveals he spent five hours in jail after
attention-seeking stunt in Seattle
-
Joshua Kravchenko, who has over 150,000 followers on Instagram, wreaked
havoc in Seattle when he and three friends hopped the barriers and forced
the game ...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment