Mshambuliaji chipukizi wa Manchester City, Kelechi Iheanacho (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 25 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Bournemouth Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yamefungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 15, Raheem Sterling (kulia) dakika ya 48 na Ilkay Gundogan dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CAF Confederation Cup: Dreams FC coach Karim Zito blames inexperience for
Zamalek defeat
-
Dreams FC coach, Abdul Karim Zito believes his team suffered from
inexperience during the 3-0 defeat to Zamalek in the semi-final of the CAF
Confederation ...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment