Mchezaji ghali wa Leicester City, Mualgeria Islam Slimani akishangilia mbele ya wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 45 na 48 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Bao lingine la mabingwa watetezi limefungwa na Ben Mee aliyejifunga dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Arsenal left praying while Man City shine as end game nears'
-
Arsenal are left "praying" as Manchester City home in on a fourth
successive Premier League title, writes Simon Stone.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment