Ryad Mahrez (kulia) akishangilia na wenzake baada ya kuifungia kwa penalti Leicester City dakika ya 61 hilo likiwa bao lake la pili usiku wa jana baada ya awali kufunga dakika ya 29 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Club Brugge kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Jan Breydel mjini Brugge. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Marc Albrighton dakika ya tano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks to face Pacers in Eastern Conference semis
-
The New York Knicks will face the Indiana Pacers in the Eastern Conference
semi-finals after both progress from the first round of the NBA play-offs.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment