Nyota wa Argentina, Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao matatu peke yake katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Borussia Monchengladbach katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Bao lingine la City lilifungwa na Kelechi Iheanacho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mark Clattenburg QUITS as Nottingham Forest's board consultant after his
role became 'more hindrance than help' amid club's explosive rows with
refs' chiefs about who VAR officials support
-
CRAIG HOPE: Mark Clattenburg has resigned from his role as an advisor to
the Nottingham Forest board after admitting it had become 'more hindrance
than hel...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment