Beki wa Sunderland, Younes Kaboul akishangilia na wenzake mbele ya mashabiki kufurahia timu yao kunusurika kushuka daraja kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Light. Mabao ya Sunderland yalifungwa na Patrick van Aanholt na Lamine Kone mawili . Timu zilizoshuka daraja England ni Newcastle United, Norwich City na Aston Villa, wakati Leicester City tayari wanasherehekea ubingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Humor laurels for comedian Bill Maher as the Kennedy Center navigates
Trump-era upheaval
-
WASHINGTON (AP) — Comedian Bill Maher will be awarded the prestigious Mark
Twain Prize for American Humor on Sunday in what might be one of the last
major ...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment