Beki wa Sunderland, Younes Kaboul akishangilia na wenzake mbele ya mashabiki kufurahia timu yao kunusurika kushuka daraja kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Light. Mabao ya Sunderland yalifungwa na Patrick van Aanholt na Lamine Kone mawili . Timu zilizoshuka daraja England ni Newcastle United, Norwich City na Aston Villa, wakati Leicester City tayari wanasherehekea ubingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtics cruise past Heat to reach play-off semis
-
The Boston Celtics maintain their good form to cruise past the Miami Heat
into the Eastern Conference play-off semi-finals.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment